Retour aux Charts
Biblia Takatifu-Swahili Bible

Biblia Takatifu-Swahili Bible

Oleg Shukalovich

BookGRATUITv3.1
App Store
Note

4.8

642 avis

Étoiles

★★★★★

Dernière mise à jour

30 janvier 2023

Date de sortie

6 avril 2015

Nouveautés

v3.1

Bug fixes and performance improvements

Infos sur l'app

Développeur
Oleg Shukalovich
Catégorie
Book
Prix
GRATUIT
Version
3.1
App ID
980260971

Description

Biblia Takatifu ya Kiswahili (Swahili Bible) with King James Bible English Version Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu". Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale". Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake. Agano la Kale Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu. Suala hilo liliondolewa kuanzia mwaka 80 BK wataalamu wa Wayahudi wa huko Jabneh (Jamnia) walipochukua msimamo mkali dhidi ya wafuasi wa Yesu. Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki. Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi. Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni. Agano Jipya Kuna vitabu 27 vya Agano Jipya. Vinne vya kwanza ni Injili nne zinazoleta habari za maisha, matendo na maneno ya Yesu. Vingine ni Matendo ya Mitume, Nyaraka za Mitume, hasa Mtume Paulo, na Ufunuo wa Yohane.

Estimation des téléchargements

Pro · Aperçu

Total estimé des téléchargements

48K32K92K
ConservateurOptimiste

238

Bas / mois

352

Estimé / mois

679

Haut / mois

Basé sur642 avis
Taux d'avis estimé1.4%
Âge de l'app135 mois

Estimé via nombre d'avis ÷ taux d'avis du genre. Écart possible de ±50%.

Analyse de la concurrence

Même genre · Top charts
Pro · Aperçu
Note moy.

Moy. concurrents

4.7

Vous : 4.8

MàJ moy.

Moy. concurrents

4d

Vous : 1202d

DL estimés

Moy. concurrents

182.4M

Vous : 48K

Chiffres de téléchargement estimés · Mis à jour toutes les 6h