Volver a los Charts
Biblia Takatifu-Swahili Bible

Biblia Takatifu-Swahili Bible

Oleg Shukalovich

BookGRATISv3.1
App Store
Valoración

4.8

642 valoraciones

Estrellas

★★★★★

Última actualización

30 de enero de 2023

Fecha de lanzamiento

6 de abril de 2015

Novedades

v3.1

Bug fixes and performance improvements

Info de la app

Desarrollador
Oleg Shukalovich
Categoría
Book
Precio
GRATIS
Versión
3.1
App ID
980260971

Descripción

Biblia Takatifu ya Kiswahili (Swahili Bible) with King James Bible English Version Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu". Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale". Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake. Agano la Kale Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu. Suala hilo liliondolewa kuanzia mwaka 80 BK wataalamu wa Wayahudi wa huko Jabneh (Jamnia) walipochukua msimamo mkali dhidi ya wafuasi wa Yesu. Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki. Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi. Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni. Agano Jipya Kuna vitabu 27 vya Agano Jipya. Vinne vya kwanza ni Injili nne zinazoleta habari za maisha, matendo na maneno ya Yesu. Vingine ni Matendo ya Mitume, Nyaraka za Mitume, hasa Mtume Paulo, na Ufunuo wa Yohane.

Estimación de descargas

Pro · Vista previa

Total estimado de descargas

48K32K92K
ConservadorOptimista

238

Bajo / mes

352

Estimado / mes

679

Alto / mes

Basado en642 valoraciones
Tasa de valoración estimada1.4%
Edad de la app135 meses

Estimado mediante recuento de reseñas ÷ tasa de reseñas del género. Margen de error ±50%.

Análisis de competidores

Mismo género · Top charts
Pro · Vista previa
Valoración media

Media competidores

4.7

Tú: 4.8

Actualiz. media

Media competidores

4d

Tú: 1202d

Descargas est.

Media competidores

182.4M

Tú: 48K

Cifras de descarga estimadas · Actualizado cada 6h